21 Ndugu wa pili akamwoa yule mwanamuke, naye akakufa vilevile bila kuacha mutoto. Na ikakuwa vile kwa ndugu wa tatu
Basi kulikuwa wandugu saba. Wa kwanza alioa mwanamuke, lakini mutu yule akakufa bila kuacha mutoto.
na hata kwa wote saba. Wote walimwoa yule mwanamuke, kila mumoja kisha kufa kwa mwenzake, lakini wakakufa bila kuacha watoto. Na kwa mwisho yule mwanamuke akakufa vilevile.