Marko 12:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200219 “Mwalimu, Musa alituamuru: ‘Mutu akiwa na ndugu yake, naye akikufa na kuacha muke wake bila mutoto, yule ndugu yake anapaswa kumwoa yule mujane na kumuzalia ndugu yake marehemu watoto.’ Gade chapit la |