Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 11:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Watu wengi wakatandika nguo zao katika njia na wengine wakatandika matawi waliyokata katika mashamba.

Gade chapit la Kopi




Marko 11:8
5 Referans Kwoze  

Katika siku ya kwanza mutatwaa matunda ya miti yenu mizuri, matawi ya ngazi, matawi yenye majani mengi na matawi ya miti inayoota kandokando ya muto, nanyi mutafanya sikukuu mbele ya Yawe, Mungu wenu kwa siku saba.


Mara moja wakubwa wenzake wakavua nguo zao, wakazilundika pamoja kwenye ngazi kusudi asimame juu yake, wakapiga baragumu na kulalamika kwa sauti: “Yehu ni mufalme!”


Watu wengi wakatandika nguo zao katika njia, na wengine wakakata matawi ya miti na kuyatandika katika njia vilevile.


Wakamuletea Yesu yule mwana-punda na kutandika nguo zao juu yake. Kisha Yesu akaikaa juu yake.


Watu waliotangulia mbele ya Yesu na wale waliofuata nyuma yake wakaanza kulalamika kwa sauti kubwa, wakisema: “Mungu asifiwe! Abarikiwe huyu anayekuja kwa jina la Bwana!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite