Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 11:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Lakini musipowasamehe wengine, Baba yenu anayekuwa mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu vilevile.]”

Gade chapit la Kopi




Marko 11:26
3 Referans Kwoze  

“Hivi, mukiwasamehe watu wengine makosa wanayowatendea, Baba yenu anayekuwa mbinguni atawasamehe vilevile.


Lakini kama musipowasamehe wengine wanaowakosea, Baba yenu hatawasamehe makosa yenu vilevile.


Yesu akaongeza kusema: “Ni hivi vilevile Baba yangu anayekuwa mbinguni atakavyowatendea ninyi, kama kila mumoja wenu asipomusamehe ndugu yake kwa moyo wake wote.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite