Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 11:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kesho yake asubui, walipokuwa wakipita, wakaona ule muti wa tini, nao ulikuwa umekauka wote, hata mizizi yake.

Gade chapit la Kopi




Marko 11:20
14 Referans Kwoze  

Yesu akajibu: “Wao ni kama mumea usiopandwa na Baba yangu wa mbinguni, utakaopaswa kuongolewa.


Kama mutu asipokaa ndani yangu, yeye ni kama tawi linalotupwa na kukauka. Matawi yanayokauka yanakusanywa na kutupwa katika moto nayo yanateketea.


Halafu Yesu akalaani muti ule, akisema: “Tangia sasa hata milele, mutu asipate tena tunda tokea juu yako.” Nao wanafunzi wake wakasikia maneno hayo aliyosema.


Wakati jua lilipokuwa kali, likazichoma, na kwa sababu hazikukuwa na mizizi mikubwa, zikakauka.


Mara tu wanaposimikwa na kuanza kuota, hata mbele hawajatoa mizizi kama miti katika udongo, Yawe akiwapulizia wananyauka, upepo mukali unawapeperusha kama makapi!


Kufika kwao kunaleta machafuko katika karamu zenu za upendo. Wanakula na kushiba pamoja nanyi pasipo haya yoyote. Wao ni kama mawingu yanayopeperushwa na upepo pasipo kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa mavuno; ni miti iliyoongolewa na kufa kabisa.


Lakini kama ukitoa miiba na magugu, udongo ule haufai kitu nao uko karibu ya kulaaniwa na Mungu, tena mwisho wake ni kuteketezwa.


Ni kitu gani nilichokosa kulifanyia shamba langu? Nilipotazamia lizae zabibu nzuri, mbona basi, likazaa zabibu chungu?


Kesho yake asubui, Yesu alipokuwa akirudia Yerusalema, akasikia njaa.


Kesho yake, walipotoka Betania, Yesu akasikia njaa.


mizizi yake inajisokotasokota kwenye mawe, nalo linaenda kuchunguza ndani ya jiwe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite