Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 11:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Ilipokuwa magaribi, Yesu na wanafunzi wake wakatoka katika muji ule.

Gade chapit la Kopi




Marko 11:19
4 Referans Kwoze  

Yesu alikuwa akipitisha muchana katika hekalu akihubiri, na usiku alikuwa akienda kulala kwenye mulima wa Mizeituni.


Yesu akafika Yerusalema na kuingia ndani ya hekalu. Alipokwisha kuangalia vitu vyote pande zote, akaondoka na kwenda Betania pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili, kwa sababu ilikuwa imekwisha kuwa magaribi.


Basi muaminie mwangaza ule wakati mungali nao, kusudi mukuwe watu wa mwangaza.” Yesu alipokwisha kusema maneno hayo, akajiendea na kujificha mbali na lile kundi.


Kisha akawaacha, akatoka inje ya muji wa Yerusalema, naye akaenda Betania na kulala kule.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite