Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 11:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Vilevile akawakataza watu kukatiliza na mizigo yao katika kiwanja cha hekalu.

Gade chapit la Kopi




Marko 11:16
2 Referans Kwoze  

Kisha wakafika Yerusalema. Yesu alipoingia ndani ya hekalu, akaanza kufukuza watu waliokuwa wakiuzishia na kununulia vitu vyao ndani ya hekalu. Akapindua meza za wale waliobadilisha feza na viti vya wachuuzi wa njiwa.


Kisha akawafundisha maneno haya: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi kwa mataifa yote.’ Lakini ninyi mumeigeuza kuwa nafasi ya kukutania ya wanyanganyi!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite