Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 11:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Kisha wakafika Yerusalema. Yesu alipoingia ndani ya hekalu, akaanza kufukuza watu waliokuwa wakiuzishia na kununulia vitu vyao ndani ya hekalu. Akapindua meza za wale waliobadilisha feza na viti vya wachuuzi wa njiwa.

Gade chapit la Kopi




Marko 11:15
6 Referans Kwoze  

Halafu Yesu akalaani muti ule, akisema: “Tangia sasa hata milele, mutu asipate tena tunda tokea juu yako.” Nao wanafunzi wake wakasikia maneno hayo aliyosema.


Vilevile akawakataza watu kukatiliza na mizigo yao katika kiwanja cha hekalu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite