Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 11:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Yesu akafika Yerusalema na kuingia ndani ya hekalu. Alipokwisha kuangalia vitu vyote pande zote, akaondoka na kwenda Betania pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili, kwa sababu ilikuwa imekwisha kuwa magaribi.

Gade chapit la Kopi




Marko 11:11
8 Referans Kwoze  

Yawe wa majeshi anasema: Ninamutuma mujumbe wangu anitangulie kunitengenezea njia. Bwana munayemutafuta atalifikia hekalu lake kwa rafla. Mujumbe munayemutazamia kwa hamu kubwa atakuja na kutangaza agano langu.


Wakati huo nitauchunguza Yerusalema kwa taa, nitawaazibu wanaoishi wakitulia kama machicha ya divai, wote ambao wanasema kati yao: Yawe hatafanya kitu: chema au kibaya.


Tena akaniambia: Ingia ndani uangalie machukizo mabaya wanayofanya humo.


Ilipokuwa magaribi, Yesu na wanafunzi wake wakatoka katika muji ule.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite