Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 11:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Ubarikiwe ufalme unaokuja, ndio ufalme wa babu yetu Daudi! Mungu asifiwe juu mbinguni!”

Gade chapit la Kopi




Marko 11:10
13 Referans Kwoze  

“Sifa kwa Mungu juu mbinguni, na amani katika dunia kwa watu anaowapenda.”


Haleluia! Mumusifu Yawe kutoka mbinguni, mumusifu kutoka huko juu mbinguni.


Nyuma, Waisraeli watarudi na kumutafuta Yawe, Mungu wao, na kumutafuta mufalme wao, wa uzao wa Daudi. Halafu watamutii Yawe, na kutazamia wema wake siku za mwisho.


Basi, ndivyo inavyokuwa vilevile: sitawatupa wazao wa Yakobo na Daudi, mutumishi wangu; nitamuchagua mumoja kati ya wazao wake atawale wazao wa Abrahamu, Isaka na Yakobo. Kwa maana nitawarudishia tena hali yao na kuwahurumia.


Musijifikiri kwamba munaweza kujidai tu kuwa Abrahamu ndiye babu yenu. Ninawaambia kwamba Mungu anaweza kugeuza mawe haya kuwa watoto wa Abrahamu!


Nalo kundi la watu waliomutangulia Yesu na lile la watu waliofuata nyuma yake, wakaanza kulalamika, wakisema: “Usifiwe wewe Mwana wa Daudi! Abarikiwe huyu anayekuja kwa jina la Bwana! Mungu asifiwe juu mbinguni!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite