Marko 10:46 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200246 Wakafika Yeriko. Na wakati Yesu alipokuwa akitoka kule pamoja na wanafunzi wake na kundi kubwa la watu, mutu mumoja kipofu aliyeitwa Bartimayo mwana wa Timayo, alikuwa akiikaa pembeni ya njia akiombaomba. Gade chapit la |