42 Yesu akawaita wote na kuwaambia: “Munajua kwamba wale wanaohesabiwa kuwa watawala wa mataifa wanayatawala kwa kinguvu, na wakubwa yao wanayagandamiza.
Musitawale kwa kinguvu kundi lile lililowekwa chini ya uangalizi wenu, lakini mukuwe mifano kwao.
Yesu akawaambia: “Wafalme wa mataifa wanawatawala watu wao kwa nguvu; na wale wenye mamlaka juu yao wanajiita ‘Watenda mema.’
Halafu Yesu akawaita wote pamoja na kuwaambia: “Munajua kwamba watawala wa mataifa wanayatawala kwa kinguvu, na wakubwa wao wanayagandamiza.
Wanafunzi wengine kumi waliposikia maneno yale, wakachukizwa na Yakobo na Yoane.
Lakini isikuwe hivi katikati yenu. Anayetaka kuwa mukubwa kati yenu, sherti akuwe mutumishi wenu.