Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Nao wakamujibu: “Musa alitoa ruhusa kwa mutu kuandika barua ya kuachana na muke wake na kisha amufukuze.”

Gade chapit la Kopi




Marko 10:4
7 Referans Kwoze  

Halafu Wafarisayo wakamwuliza: “Kwa sababu gani basi Musa aliamuru kuandika barua ya kuachana wakati wa kumufukuza mwanamuke?”


Yosefu, muchumba wake, alikuwa mutu wa haki, naye hakutaka kumupatisha haya mbele ya watu, akakusudia kuachana naye kwa siri.


Mume akiachana na muke wake, naye muke akijiendea, na kuolewa na mwingine, mume yule anaweza kumurudilia muke huyo? Kufanya hivyo hakutaichafua inchi kabisa? Wewe Israeli, umefanya ukahaba na wapenzi wengi, sasa unataka kunirudilia mimi? –Ni ujumbe wa Yawe.–


Yawe anasema hivi: Kama nimeachana na mama yako Yerusalema, barua ya kuachana iko wapi? Nilikuwa na deni ya nani kwa kuwauzisha? Mukumbuke kwamba muliuzishwa kwa ajili ya maovu yenu, mama yenu alifukuzwa kwa ajili ya makosa yenu.


Yesu akajibu: “Musa aliwaamuru nini?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite