Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 10:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 Yesu akawauliza: “Munataka niwafanyie nini?”

Gade chapit la Kopi




Marko 10:36
5 Referans Kwoze  

Kama mukikaa ndani yangu na maneno yangu yanakaa ndani yenu, mutaomba chochote munachotaka, nanyi mutakipewa.


Yesu akamwuliza: “Unataka nikufanyie nini?” Yule kipofu akamujibu: “Mwalimu, ninataka nipate kuona.”


Kisha wana wawili wa Zebedayo, Yakobo na Yoane, wakamufikia Yesu na kumwambia: “Mwalimu, tunataka utufanyie jambo tutakalokuomba.”


Nao wakamujibu: “Utakapokuwa katika utukufu wako, uturuhusu kuikaa pamoja nawe, mumoja kwa upande wako wa kuume na mwingine kwa upande wako wa kushoto.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite