Batiseba akasema: “Nina ombi dogo tafazali ulikubali, na ninakuomba usinikatalie.” Mufalme akamwambia: “Sema ombi lako mama yangu, kwa sababu sitakukatalia.”
Yesu alipoendelea mbele kidogo, akawaona wandugu wengine wawili, Yakobo na Yoane, waliokuwa wana wa Zebedayo. Walikuwa ndani ya chombo pamoja na baba yao Zebedayo, wakitengeneza nyavu zao. Yesu akawaita.