3 Yesu akajibu: “Musa aliwaamuru nini?”
Muniambie ninyi munaotaka kuishi chini ya Sheria, hamujui vile Sheria inavyosema?
Hakika anayesema hivyo hajapata kuona mwangaza. Lakini ninyi mushike lile agizo na mafundisho ya Mungu.
Munachunguza Maandiko Matakatifu, kwa maana munazani kuwa ndani yao mutapata uzima wa milele. Maandiko hayo ndiyo yanayonishuhudia,
Halafu mwalimu mumoja wa Sheria akasimama na kumwuliza Yesu kwa kumupima: “Mwalimu, nifanye nini kusudi nipate uzima wa milele?”
Wafarisayo wamoja wakamufikia kwa kumupima, wakamwuliza: “Sheria yetu inamuruhusu mutu kufukuza muke wake?”
Nao wakamujibu: “Musa alitoa ruhusa kwa mutu kuandika barua ya kuachana na muke wake na kisha amufukuze.”