28 Petro akamwambia: “Angalia sisi tumeacha vyote na kukufuata wewe!”
Ni vile inavyokuwa, hakuna mumoja wenu atakayeweza kuwa mwanafunzi wangu kama asipoacha vyote anavyokuwa navyo.”
Na mara moja wakaacha chombo pamoja na baba yao, wakamufuata Yesu.
Mara moja wakaacha nyavu zao, na kumufuata.
Wanafunzi kumi na wawili wa Yesu pamoja na watu waliokuwa pembeni yake walipokuwa peke yao, wakamwuliza awaelezee maana ya mifano ile.
wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza, wakati wa kuchunga na wakati wa kutupa,