16 Kisha akawakumbatia watoto wale, akaweka mikono juu yao na kuwabariki.
Kisha akatwaa mutoto mudogo, akamuweka mbele yao na kumukumbatia. Naye akawaambia:
Atachunga kundi lake kama muchungaji, atawakusanya wana-kondoo katika mikono yake, atawabeba kwa kifua chake, na atawaongoza polepole kondoo wanaonyonyesha.
“Miji yenu itabarikiwa na mashamba yenu.
Walipokuwa wakikula, akatwaa mukate, akaubariki, kisha akaumega na kuwapa wanafunzi wake, akisema: “Mutwae, huu ni mwili wangu.”