Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 10:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Kweli ninawaambia ninyi: mutu yeyote asiyepokea Ufalme wa Mungu kama mutoto mudogo, hawezi kuingia ndani yake hata kidogo.”

Gade chapit la Kopi




Marko 10:15
6 Referans Kwoze  

na kusema: “Kweli ninawaambia: kama musipogeuka na kuwa sawasawa na mutoto mudogo, hamutaingia katika Ufalme wa mbinguni hata kidogo.


Kweli ninawaambia: ‘Mutu yeyote asiyekubali Ufalme wa Mungu kama mutoto mudogo, hawezi kuingia katika Ufalme ule hata kidogo.’ ”


Lakini Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Muwaache watoto wakuje kwangu, wala musiwakataze, kwa maana Ufalme wa mbinguni ni wa watu wanaokuwa sawasawa na wao.”


Wandugu zangu, musikuwe kama watoto kwa kufikiri: lakini katika mambo mabaya, iwatokee kutenda kama watoto wachanga. Inafaa mafikiri yenu yakuwe kama ya watu wazima.


Kama vile watoto wachanga wanaotamani maziwa, na ninyi vilevile mukuwe na hamu ya kunywa maziwa safi ya kiroho, kusudi mupate kukomaa na kuokolewa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite