Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 10:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Watu wamoja wakamuletea Yesu watoto kusudi awawekee mikono, lakini wanafunzi wake wakawakaripia watu wale.

Gade chapit la Kopi




Marko 10:13
7 Referans Kwoze  

Watu wengi walimukaripia na kumwambia anyamaze, lakini alizidi kulalamika akisema: “Yesu Mwana wa Daudi, unisikilie huruma!”


Yoane akamwambia Yesu: “Mwalimu, tulimwona mutu mumoja akifukuza pepo kwa jina lako, nasi tulimukataza kwa sababu yeye si wa kikundi chetu.”


Muwakusanye watu wote, muwatakase watu. Muwalete wazee, muwakusanye watoto, hata watoto wanaonyonya. Bwana-arusi na bibi-arusi watoke katika vyumba vyao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite