Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 10:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Vile vile, kila muke anayemwacha mume wake na kuolewa na mwingine, anazini.”

Gade chapit la Kopi




Marko 10:12
3 Referans Kwoze  

Lakini kama muke akiachana na mume wake, asiolewe tena, kama si vile apatane tena na mume wake. Vilevile mume hapaswi kufukuza muke wake.


Vilevile kama muke mwamini akiwa na mume asiyeamini, naye mume yule akikubali kuishi pamoja naye, asiachane na mume wake.


Lakini mimi ninawaambia: mutu yeyote anayeachana na muke wake, isipokuwa tu kwa sababu ya uzinzi, anamufanya muke yule kuwa muzinzi kama akiolewa tena. Na mutu anayemwoa yule muke aliyefukuzwa, anazini vilevile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite