9 Katika siku zile, Yesu akatoka Nazareti, katika Galilaya, akabatizwa na Yoane katika Yordani.
Kule akakaa katika muji ulioitwa Nazareti, kusudi yatimie maneno yaliyosemwa kwa njia ya manabii: “Ataitwa mutu wa Nazareti.”
Mimi nimewabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mutakatifu.”
Mara moja wakati Yesu alipotoka ndani ya maji, akaona mbingu zinafunguka na Roho Mutakatifu akishuka juu yake kwa mufano wa njiwa.
Basi Yesu akarudia Nazareti pamoja nao, akaendelea kuwatii. Na mama yake alichunga maneno haya yote katika moyo wake.