Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 1:45 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

45 Lakini mutu yule alipoenda, akaanza kutangaza habari zile fasi zote. Na kwa sababu hii Yesu hakuweza kuingia tena waziwazi katika muji wowote, lakini alibaki mbali nayo pahali penye ukiwa. Na watu walimufikia kule kutoka pande zote.

Gade chapit la Kopi




Marko 1:45
12 Referans Kwoze  

Yesu akaenda tena pembeni ya ziwa la Galilaya. Kundi kubwa la watu wakamufikia, naye akawafundisha.


Lakini wakaenda na kuanza kutangaza habari za Yesu katika inchi ile yote.


Kundi kubwa la watu wakamufuata, kwa sababu watu hao waliona vitambulisho alivyoonyesha kwa kuponyesha wagonjwa.


Kisha nikasema: “Kinachoniumiza zaidi ni kwamba Mungu Mukubwa hatendi tena kitu kwa ajili yetu!”


Yesu na wanafunzi wake wakaenda peke yao pembeni ya ziwa la Galilaya, na kundi kubwa la watu walimufuata. Watu hawa walitoka Galilaya na Yudea,


Basi wale waaskari walinzi wakapokea zile feza na kufanya sawa walivyoambiwa. Na habari hii ilienea katikati ya Wayuda mpaka leo.


Kufuatana na hiyo, kuna watu wengi hasa kati ya Wayuda walioamini, wanaokuwa waasi, wakatetea na wadanganyifu.


Habari za jambo hili zikaenea katika inchi ile yote.


Kisha Yesu akarudi kwenye nyumba. Kundi kubwa la watu wakakusanyika tena hata Yesu na wanafunzi wake hawakupata wakati wa kula.


Yesu akawaagiza wasimwambie mutu habari ya tendo hili. Lakini kwa kadiri alivyowakataza, wao walizidi kutangaza habari.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite