42 Na mara moja mutu yule akapona ukoma na kutakaswa.
Ninyi mumekwisha kuwa safi kwa kuwa mumeshika maneno niliyowaambia.
Alipogusa nguo ya Yesu, mara moja damu yake ikaacha kutoka, naye akajisikia amepona.
Basi Yesu akajongea karibu naye, akamushika mukono na kumusimamisha. Naye akapona homa na kuanza kuwashugulikia.
Halafu Yesu akamujibu: “Wewe mwanamuke, imani yako ni kubwa! Ifanyike kwako sawa ulivyoomba.” Na binti yake akapona tangia saa ile ile.
Maana alisema, na ulimwengu ukakuwa; alitoa amri, nao ukajitokeza.
Yesu akamusikilia huruma, akanyoosha mukono, akamugusa na kumwambia: “Ninataka utakaswe!”
Pale pale Yesu akamwagiza kwa nguvu aende na kusema: