Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 1:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Watu waliomusikia walishangaa sana kuona namna alivyofundisha, kwa maana hakuwafundisha sawa na walimu wao wa Sheria, lakini kama mutu mwenye mamlaka.

Gade chapit la Kopi




Marko 1:22
14 Referans Kwoze  

na kwenda katika muji wake mwenyewe. Kule akaanza kuwafundisha watu katika nyumba zao za kuabudia, nao walishangaa na kuuliza: “Huyu amepata hekima na miujiza hii kutoka wapi?


Walinzi wakajibu: “Hatujasikia mutu akisema sawasawa na mutu yule!”


Nao wakashangaa sana kuona namna alivyowafundisha, kwa maana aliwafundisha kama mutu mwenye mamlaka.


Neno langu ni kama moto. –Ni ujumbe wa Yawe!– Neno langu ni kama nyundo inayovunja mawe vipandevipande.


Tumekataa mambo ya kisirisiri na ya haya. Hatuna mwenendo wa udanganyifu wala hatupotowi neno la Mungu. Lakini tunajulisha waziwazi ukweli kusudi tuvute kila mutu kutuaminia katika zamiri yake mbele ya Mungu.


lakini hawakuweza kumushinda kwa sababu ya hekima yake na kwa sababu ya Roho Mutakatifu aliyemwongoza kusema.


Kwa maana mimi mwenyewe nitawapa masemi na hekima hata waadui zenu hawataweza kuyapinga wala kuyakataa.


Saa ile, mutu mumoja aliyeshikwa na pepo alikuwa ndani ya nyumba ya kuabudia. Akaanza kulalamika, akisema:


Na wote waliomusikia walishangaa kuona akili yake na majibu yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite