Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Marko 1:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Mara moja wakaacha nyavu zao na kumufuata.

Gade chapit la Kopi




Marko 1:18
9 Referans Kwoze  

Ni vile inavyokuwa, hakuna mumoja wenu atakayeweza kuwa mwanafunzi wangu kama asipoacha vyote anavyokuwa navyo.”


Basi wakakokota vyombo vyao mpaka inchi kavu, wakaacha vyote na kumufuata.


Bila shaka, ninahesabu mambo yote kuwa kihombo kwa ajili ya faida kubwa ya kujua Kristo Yesu Bwana wangu. Kwa ajili yake nimekubali kupoteza vyote, nikivihesabu kuwa kama mavi, kusudi nimupate Kristo


Mara moja wakaacha nyavu zao, na kumufuata.


Yesu akawaambia: “Munifuate, nami nitawaweka kwa kazi ya kuopoa watu.”


Yesu alipoendelea mbele kidogo, akawaona wandugu wengine wawili: Yakobo na Yoane waliokuwa wana wa Zebedayo. Walikuwa ndani ya chombo wakitengeneza nyavu zao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite