Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Maombolezo 5:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Utugeuze, ee Yawe, kusudi tukurudilie. Uturudishie hali ya zamani.

Gade chapit la Kopi




Maombolezo 5:21
19 Referans Kwoze  

mbele ya kabila la Efuraimu, la Benjamina na la Manase. Uonyeshe nguvu yako, ukuje kutuokoa!


Umetufanya jambo la mazarau kwa jirani zetu; waadui zetu wanatuchekelea.


Umezuia kasirani yako yote; umeacha hasira yako kali.


Nimesikia Efuraimu akilalamika hivi: Umeniazibu vikali, maana nilikuwa kama mwana-ngombe asiyezoea nira. Unigeuze nami nitakugeukia, maana wewe ndiwe Yawe, Mungu wangu.


Hatutakuacha tena; utujalie uzima, nasi tutakusifu.


Ee Yawe, nimesikia juu ya utukufu wako, juu ya matendo yako, nami ninaogopa. Uyafanye tena mambo yale wakati wetu; uyafanye yajulikane wakati huu wetu. Unapokasirika tafazali ukumbuke huruma yako!


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Waisraeli wataniomba niwafanye kuwa wengi kama kundi la kondoo, nami nitawafanya hivyo.


Katika miji ya inchi yenye milima, katika miji ya Shefela na katika miji ya jangwa la Negebu, katika inchi ya Benjamina, kandokando ya Yerusalema na katika miji ya Yuda, watu watahesabu tena kondoo wao. –Ni Yawe anayesema.


Yawe anasema hivi: Katika muji huu ambao munasema kwamba umekuwa ukiwa bila watu wala nyama, katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalema ambazo ni tupu, bila watu wala nyama, humo kutasikilika tena sauti za vicheko, sauti za furaha,


Nitakurudisha katika hali mupya, ewe binti Israeli! Utazitwaa tena ngoma zako, nawe utajitokeza tena kwa kucheza na wenye shangwe.


Unijibu, ee Yawe, unijibu kusudi watu hawa wajue kwamba wewe Yawe ndiwe Mungu, na kwamba umeigeuza mioyo yao wakurudilie.”


Hivyo, sadaka za watu wa Yuda na wa Yerusalema zitamupendeza Yawe kama za watu wa zamani; kama katika miaka iliyopita.


Mwangaza wako muchana hautatua kama jua, wala mwangaza wako usiku kufifia kama mbalamwezi; maana Yawe ni mwangaza wako milele, nazo siku zako za kuomboleza zitakoma.


Watoto wao watakuwa kama walivyokuwa zamani, nayo makundi yatasimama imara mbele yangu, nami nitawaazibu wote wanaowagandamiza.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite