Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Maombolezo 4:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Watu walifuatilia hatua zetu, tukashindwa kupita katika barabara zetu. Mwisho wetu ulikaribia, siku zetu zilitimia, mwisho wetu ulifika.

Gade chapit la Kopi




Maombolezo 4:18
16 Referans Kwoze  

Naye Yawe akaniuliza: Amosi, unaona nini? Nami nikamujibu: Ninaona kikapu cha matunda yenye kuivya. Kisha Yawe akaniambia: Mwisho umewafikia watu wangu wa Israeli. Sitavumilia tena maovu yao.


Nimewindwa kama ndege na hao wanaonichukia bila sababu.


Nitaita wavuvi wengi kuja kuwanasa watu hawa. Kisha, nitaita wawindaji wengi kuja kuwawinda juu ya kila mulima, kila kilima na katika mapango ya chini ya mawe.


Wewe mwanadamu, Waisraeli wanafikiri kwamba maono yako yanahusu siku za nyuma sana, na unabii wako unahusu nyakati za mbali sana!


Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Babeli ni kama uwanja wa kupepetea ngano wakati unapotayarishwa. Lakini bado kidogo tu, wakati wa mavuno utaufikia.


Yawe akaniambia: Umeona vizuri, kwa maana nitakuwa na uangalivu kusudi maneno yangu yapate kutimia.


Makaa ya moto yawaangukie; watumbukizwe katika mashimo, wasiinuke tena.


Nikiinua kichwa tu, unaniwinda kama simba na kuniponda tena kwa maajabu yako.


Kumbuka mezali ya kale inayosema ‘Uovu unatoka ndani ya mwovu’, lakini sitanyoosha mukono juu yako.


manabii wanatabiri mambo ya uongo, nao makuhani wanatafuta faida yao wenyewe; nao watu wangu wanaona jambo hilo kuwa sawa. Lakini mwisho wake utakapofika mutafanya nini?


Alipokuwa katika mulango wa Benjamina, mulinzi mumoja anayeitwa Iria mwana wa Selemia, mujukuu wa Hanania, alimukamata Yeremia na kumwambia: Wewe unatoroka kusudi uende kujiunga na Wakaldea!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite