Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Maombolezo 3:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Ingawa ninaita na kuomba musaada anazuiza maombi yangu yasimufikie.

Gade chapit la Kopi




Maombolezo 3:8
9 Referans Kwoze  

Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Mbona uko mbali sana kwa kunisaidia, mbali na maneno ya kilio changu?


Ninakulilia, lakini haunijibu, ninasimama kuomba lakini haunisikilizi.


Ninalalamika: “Mateso makali!” lakini sijibiwi. Ninaita kwa sauti kubwa, lakini sipati haki yangu.


Ilipokuwa karibu saa tisa, Yesu akalalamika akisema: “Eli, Eli, lama sabaktani,” maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”


Ee Yawe, nitakulilia mpaka wakati gani, nawe usinisikilize na kunisaidia? Kwa nini ninalia “Mateso makali!” nawe hautuokoi?


Umejifunika wingu kusudi maombi yoyote yasipite.


Utengeneze tena maisha yetu, ee Mungu; utuangalie kwa wema, nasi tutaokoka.


Umejifunika hasira yako na kutufuatilia, ukatuua bila huruma.


Kwa maana kila mutu anayeomba anapewa; anayetafuta anapata, anayepiga hodi anafunguliwa mulango.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite