Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Maombolezo 3:59 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

59 Uliuona uovu niliotendewa, ee Yawe; uniamulie kwa wema maneno yangu.

Gade chapit la Kopi




Maombolezo 3:59
16 Referans Kwoze  

Unipatie haki yangu, ee Mungu; uyatetee maneno yangu mbele ya watu wabaya; uniokoe na watu waongo na waovu.


Wakati walipomutukana, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha watu hata wamwogope. Lakini alijiachilia katika mikono ya Mungu anayehukumu watu kwa haki.


Zaburi ya Daudi. Uwapinge, ee Yawe, hao wanaonipinga; uwashambulie hao wanaonishambulia.


Zaburi ya Daudi. Ee Yawe, unitetee, maana nimeishi katika ukamilifu, nimekutumainia wewe bila kusita.


Waadui zangu walirudi nyuma, walijikwaa na kuangamia mbele yako.


Kama Mungu wa babu yangu Abrahamu, Mungu ambaye ni kitisho cha Isaka, asingelikuwa upande wangu, hakika ungeliniacha niondoke mikono mitupu. Lakini Mungu aliona mateso yangu na kazi niliyofanya kwa mikono yangu, akakukaripia usiku wa kuamukia leo.”


Uinuke, ee Yawe, unitetee; ukuje, ee Mungu wangu, uangalie maneno yangu.


Ole wangu, mama yangu, kwa sababu ulinizaa! Mimi nimekuwa mutu wa ubishi na ugomvi katika inchi yote! Sijapata kukopesha mutu wala kukopeshwa na mutu, lakini kila mutu ananilaani.


Rakeli akasema: “Mungu amenitendea sawa, amesikia kilio changu na kunipa mutoto mwanaume.” Akamwita mutoto yule Dani.


Lakini wewe unawaona wenye taabu na shida; nawe uko tayari kuwasaidia siku zote. Muzaifu anakutegemea wewe, ee Mungu, wewe umekuwa siku zote musaada wa yatima.


wanapomunyima mutu haki katika tribinali, basi, Yawe haoni hayo?


Umeuona uovu wa waadui zangu, na mipango yao yote juu yangu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite