Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Maombolezo 3:56 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

56 Wewe umenisikia nikikulilia: Usiache kusikiliza maombi yangu ya musaada.

Gade chapit la Kopi




Maombolezo 3:56
17 Referans Kwoze  

Kutoka kwa mukubwa wa waimbaji: kwa vyombo vyenye nyuzi. Mashairi ya Daudi.


Hata wakasababisha kilio cha wamasikini kimufikie Mungu. Mungu akasikiliza kilio cha wale walioteswa.


Na ni hivi vilevile Roho wa Mungu anatusaidia katika uzaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba sawa inavyopaswa. Lakini Roho wa Mungu yeye mwenyewe anatuombea kwa Mungu kwa kuugua kusikoweza kuelezwa.


Kwenda umwambie Hezekia kwamba: Mungu wa baba yako Daudi, anasema hivi: Nimesikia ombi lako na nimeyaona machozi yako. Basi, ninakuongezea miaka kumi na mitano ya kuishi.


Mumugeukie Mungu mupate kufurahi; nanyi hamutafezeheka hata kidogo.


Lakini kweli Mungu amenisikiliza; amesikiliza maneno ya maombi yangu.


Lakini wewe, ee Yawe, unanizunguka kama ngao; kwako ninapata utukufu na ushindi.


Maombi yake na jinsi Mungu alivyomupokea, zambi zake zote na ukosefu wa uaminifu kwake, pahali alipojenga pa kutambikia na jinsi alivyotengeneza sanamu za Ashera na sanamu zingine mbele ya kujinyenyekeza, vimeandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Waonaji.


Alimusihi, naye Mungu akapokea maombi yake na kusihi kwake, akamurudisha Yerusalema katika ufalme wake. Halafu Manase akatambua kwamba Yawe ndiye Mungu.


Ee Yawe, usikilize maneno yangu, usikie malalamiko yangu.


Usikilize kilio changu, Mufalme wangu na Mungu wangu, maana wewe ndiwe ninayekuomba.


Ee Mungu, tega sikio usikie maombi yangu; usiangalie pembeni ninapokuomba.


Magaribi, asubui na muchana kati, ninalalamika na kulia, naye atasikia sauti yangu.


Kwa hiyo, ee Mungu, usikilize malalamiko yangu na maombi yangu mimi mutumishi wako. Kwa ajili ya heshima yako, ulionee tena hekalu lako lililoharibika huruma.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite