52 Nimewindwa kama ndege na hao wanaonichukia bila sababu.
Usiwaache waadui hao wabaya wanisimange, hao wanaonichukia bure, wafurahie mateso yangu.
Maana walinitegea mitego bila sababu; walinichimbia shimo bila neno lolote.
Lakini wamefanya hivi kusudi maneno haya yaliyoandikwa katika Sheria yao yatimie: ‘Wamenichukia pasipo sababu.’
Halafu Yeremia akamwuliza mufalme Zedekia: Nimekukosea nini, au nimewakosea nini watumishi wako au watu hawa, hata unitie katika kifungo?
Wakubwa wananitesa bila sababu, lakini mimi ninaheshimu maneno yako kwa moyo wote.
Wanasema maovu juu yangu, na kunishambulia bila sababu.
Ninaregea kwa ajili ya kulalamika, na koo langu limekauka. Macho yangu yamefifia, nikikungojea ewe Mungu wangu.
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi. Yawe ni kimbilio langu; namna gani basi munaweza kuniambia: “Ruka kama ndege, mpaka kwenye milima,
Tumeponyoka kama ndege katika mutego; mutego umefyatuka, nasi tukaponyoka.
Ninahuzini sana kuona yale yaliyowapata wabinti wa muji wangu.