Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Maombolezo 3:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Inamupasa kumugeuzia shavu mwenye kumupiga, na kuwa tayari kupokea matusi yake.

Gade chapit la Kopi




Maombolezo 3:30
11 Referans Kwoze  

Wale walionipiga, niliwaelekezea mugongo wangu, wale walioziongoa ndevu zangu, mashavu yangu. Sikuficha uso wangu wakati watu waliponitukana na kunitemea mate.


Watu wanafungua vinywa vyao na kunichekelea. Makundi kwa makundi wananizunguka na kunipiga makofi kwenye mashavu.


Halafu wamoja wakamutemea mate juu ya uso, na kumupiga ngumi. Na wengine wakamupiga makofi,


Lakini mimi ninawaambia: musirudishe mabaya kwa mabaya. Kama mutu akikupiga kofi kwa shavu la kuume, umugeuzie shavu la kushoto vilevile.


Munavumilia hata mutu anayewatia katika utumwa, anayeiba mali zenu, anayewagandamiza, anayewazarau na anayewapiga kofi kwenye uso.


Kama mutu akikupiga kofi kwa shavu moja, umugeuzie lingine vilevile. Kama mutu akikunyanganya koti yako, umwachie shemizi yako vilevile.


Yawe anasema hivi: Lakini wewe Betelehemu katika Efurata, wewe ni mudogo tu kati ya ukoo wa Yuda, lakini kwako kutanitokea mutawala atakayetawala juu ya Israeli. Asili yake ni ya zamani sana.


Utuhurumie, ee Yawe, utuhurumie, maana tumezarauliwa kupita kipimo.


Wewe unajua ninavyotukanwa, unajua haya na matusi ninazopata; na waadui zangu wote wewe unawajua.


Nimekuwa mugeni kwa wandugu zangu, kaka na dada zangu hawanitambui.


Wananichukia na kuniepuka; wakiniona tu wanatema mate kwenye uso.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite