27 Ni vizuri kwa mutu kujifunza uvumilivu tangu wakati wa ujana wake.
Ukumbuke Muumba wako siku za ujana wako wakati hazijafika siku mbaya wala haijakaribia miaka utakaposema: “Sina furaha katika vitu hivyo.”
Nimefaidika kutokana na taabu yangu, maana imeniwezesha kujifunza masharti yako.
Heri mutu unayemwadibisha, ee Yawe, mutu unayefundisha sheria yako,
Utufundishe ufupi wa maisha yetu kusudi tuweze kuwa na hekima.
Ni vizuri kwa mutu kungojea kwa utulivu wokovu unaotoka kwa Yawe.
Heri kwa mutu kukaa peke yake na kimya, mambo mazito yanapomupata kutoka kwa Mungu.