Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Maombolezo 3:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Wema wa Yawe haukomi, huruma zake hazina mwisho.

Gade chapit la Kopi




Maombolezo 3:22
20 Referans Kwoze  

Lakini wewe, Bwana, ni Mungu wa rehema na huruma; wewe ni muvumilivu, mwingi wa wema na uaminifu.


Yeye anawasikilia wale wanaomwogopa huruma kwa vizazi vyote.


Hata hivyo, kutokana na rehema zako nyingi, haukuwaachilia waangamie kabisa au kuwatupilia, maana wewe ni Mungu mwenye huruma na rehema.


Yawe wa majeshi alisema hivi: Mimi Yawe sibadiliki. Ni kwa sababu hii, ee ninyi wazao wa Yakobo, hamujateketezwa.


Lakini Mungu mwenye huruma alisamehe uovu wao, wala hakuwaangamiza. Mara nyingi alizuia hasira yake, wala hakuacha kasirani yake yote iwake.


kwa ajili yao alilikumbuka agano lake, akawahurumia kwa wingi wa wema wake.


“Bwana ametuachilia kabisa? Hatapendezwa tena nasi?


Yeye hatuazibu kama tunavyostahili; hatulipizi kadiri ya uovu wetu.


Basi, kwenda umutangazie Israeli maneno haya: Rudi, ewe Israeli usiyekuwa mwaminifu. –Ni ujumbe wa Yawe.– Nami sitakuangalia kwa hasira maana mimi ni mwema. –Ni ujumbe wa Yawe.– Kweli, sitakukasirikia milele.


Maana mimi niko pamoja nawe, nipate kukuokoa. –Ni ujumbe wa Yawe.– Nitayaangamiza kabisa mataifa yote, ambayo niliyokusambaza kati yao; lakini sitakuangamiza wewe kabisa. Nitakuazibu kadiri unavyostahili wala sitakuachilia uende bila kukuazibu. –Ni ujumbe wa Yawe.


Daudi akamujibu Gadi: “Nina mashaka makubwa! Lakini afazali kuazibiwa na Yawe, kuliko kutiwa katika mikono ya watu, maana yeye ana rehema sana.”


Ee Yawe, unijibu, unielekee, kwa uzuri wa wema wako, kwa wingi wa rehema yako.


Efuraimu ni mwana wangu mupendwa; yeye ni mutoto wangu ninayemupenda sana. Ndiyo maana kila mara ninapomutisha, ninaendelea kumukumbuka. Moyo wangu unamwelekea kwa wema; hakika nitamuhurumia. –Ni ujumbe wa Yawe.


Wewe, Bwana Mungu wetu, una huruma na musamaha, ingawa sisi tumekuasi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite