Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Maombolezo 3:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Alikuwa kwangu kama dubu anayevizia, kama simba katika maficho.

Gade chapit la Kopi




Maombolezo 3:10
10 Referans Kwoze  

Halafu watasema: Tuende tumurudilie Yawe! Yeye mwenyewe ameturarua, lakini yeye mwenyewe atatuponyosha. Yeye mwenyewe ametuumiza, lakini yeye mwenyewe atatunza vidonda.


Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efuraimu, kama simba mukali kwa watu wa Yuda. Mimi mwenyewe nitawararua na kuondoka, nitawakamata na hakuna atakayewaokoa.


Usiku kucha nililia kwa kuomba musaada; kama simba, anavunjavunja mifupa yangu; muchana na usiku ananikomesha.


anajificha katika maficho yake kama simba. Anavizia apate kuwakamata wamasikini; anawanasa kwa mutego wake na kuwachukua.


Nikiinua kichwa tu, unaniwinda kama simba na kuniponda tena kwa maajabu yako.


Wako tayari kunirarua kama simba, kama simba mukali anavyovizia nyama.


Amezifunga njia zangu kwa mawe makubwa, amepotosha mapito yangu.


Alinifukuza katika njia yangu, akanirarua na kuniacha ukiwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite