Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Maombolezo 3:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mimi ni mutu niliyepata mateso kwa fimbo ya kasirani ya Mungu.

Gade chapit la Kopi




Maombolezo 3:1
12 Referans Kwoze  

Umenitupa mbali katika shimo la wafu, katika giza kubwa.


Munionee huruma, munionee huruma, enyi warafiki zangu; maana mukono wa Mungu umenigusa.


Basi, wakamutwaa Yeremia wakamutia katika kisima cha Malkia mwana wa mufalme ambacho kilikuwa katika kiwanja cha walinzi. Walimushusha Yeremia ndani kwa kamba. Ndani ya kisima hicho hamukukuwa maji lakini matope, naye Yeremia akazama katika matope.


Alizarauliwa na kukataliwa na watu. Alikuwa mutu wa uchungu na huzuni. Alikuwa kama mutu wa kuchukiza kwa watu; alizarauliwa na tukamwona si kitu.


Umeniletea taabu kubwa, lakini utanirudishia tena uzima, wewe utaniinua tena kutoka katika shimo.


wanaume, wanawake, watoto, wabinti wa mufalme na kila mutu ambaye Nebuzaradani mukubwa wa waaskari alikuwa amemwachia Gedalia mwana wa Ahikamu mujukuu wa Safanu. Wakamupeleka vilevile nabii Yeremia na Baruku mwana wa Neria.


kwa sababu ya kasirani na hasira yako, maana umeniokota na kunitupilia mbali.


Mimi ninavunjika moyo, ninaomboleza na kufazaika, kwa sababu watu wangu wameumizwa sana.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite