Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Malaki 2:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Katika agano hilo, niliwaahidi uzima na amani na kwamba wao wanapaswa kunitii mimi, nao kwa upande wao walinitii mimi na kuogopa jina langu.

Gade chapit la Kopi




Malaki 2:5
14 Referans Kwoze  

Nitafanya nao agano la amani, nalo litakuwa agano la milele. Nitawabariki na kuwafanya wakuwe wengi, nami nitaweka hekalu langu kati yao milele.


Nitafanya nao agano la amani. Nitaondoa nyama wakali katika inchi, kusudi kondoo wangu wakae katika mbuga kwa usalama na kulala katika pori.


Kisha kuwatakasa Walawi na kuwatoa kama vile sadaka ya kutikiswa wataingia kwa kutumika katika hema la mukutano.


Sasa, utenge Walawi wote kuwa wangu pahali pa wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli. Vilevile, utenge ngombe wa Walawi wote pahali pa wazaliwa wa kwanza wa ngombe wa Waisraeli. Mimi ni Yawe.


Basi, Finehasi mwana wa Eleazari mujukuu wa kuhani Haruni alipoona hayo, akasimama, akatoka, akatwaa mukuki


na kumufuatilia yule Mwisraeli mpaka ndani ya hema, akawachoma mukuki wote wawili ndani ya tumbo. Ugonjwa mukali uliokuwa umewaangamiza Waisraeli ukakomeshwa.


Ninaomba nikae katika nyumba yako milele, nipate kukimbilia chini ya mabawa yako.


Mwenye mwenendo sawa anamwogopa Yawe, lakini mupotovu anamuzarau Mungu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite