Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 9:56 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

56 Kisha wakaondoka kwenda katika kijiji kingine.

Gade chapit la Kopi




Luka 9:56
16 Referans Kwoze  

Usijiachilie kushindwa na ubaya, lakini ushinde ubaya kwa kutenda mema.


Kwa maana Mwana wa Mutu hakukuja kutumikiwa, lakini kutumikiana na kutoa maisha yake kusudi awakomboe watu wengi.”


Mungu hakumutuma Mwana wake katika ulimwengu kusudi ahukumu ulimwengu, lakini kusudi ulimwengu uokolewe naye.


Mwizi anakuja tu kwa kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja kusudi watu wapate uzima, ndio uzima wa kweli kabisa.


Kwa maana Mwana wa Mutu alikuja kutafuta na kuokoa yule aliyepotea.”


“Mufanye angalisho, musimuzarau mumoja wa hawa wadogo; kwa sababu ninawaambia kwamba wamalaika wao wanaokuwa mbinguni wako siku zote karibu na Baba yangu anayekuwa mbinguni. [


Neno hili ni la kuaminiwa nalo linastahili kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja katika dunia kwa kuokoa wenye zambi. Na mimi ni wa kwanza mwenye zambi kati yao,


Mutu akisikia maneno yangu pasipo kuyashika, si mimi nitakayemuhukumu. Kwa maana sikukuja kuhukumu dunia, lakini nilikuja kuiokoa.


Halafu Yesu akasema: “Baba uwasamehe, kwa maana hawajui jambo wanalofanya.” Waaskari wakagawanya nguo zake kwa kuzipigia kura.


Lakini Yesu akasema: “Mwache, inatosha!” Akagusa sikio la mutu yule, na kumuponyesha.


Lakini mimi ninawaambia: musirudishe mabaya kwa mabaya. Kama mutu akikupiga kofi kwa shavu la kuume, umugeuzie shavu la kushoto vilevile.


Lakini Yesu akawageukia na kuwakaripia.


Nao walipokuwa katika njia, mutu mumoja akamwambia Yesu: “Nitakufuata popote utakapokwenda.”


Kwa maana Mwana wa Mutu alikuja kuokoa yule aliyepotea.]


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite