Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 9:45 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

45 Lakini wao hawakufahamu maana ya maneno hayo, kwa sababu yalikuwa yamefichwa kwao, kusudi wasipate kuyatambua. Nao waliogopa kumwuliza maana yake.

Gade chapit la Kopi




Luka 9:45
15 Referans Kwoze  

Wanafunzi wake hawakufahamu maana ya maneno hayo, kwa sababu yalikuwa yamefichwa kwao, nao hawakutambua kama Yesu alisema juu ya nini.


Wanafunzi wake hawakuelewa maneno haya kwanza, lakini wakati Yesu alipokwisha kutukuzwa, wakakumbuka kwamba maneno haya yameandikwa juu yake na ni vile walivyomutendea.


Lakini hawakufahamu neno lile alilowaambia.


Lakini wanafunzi hawakufahamu maana ya mafundisho hayo. Wakaogopa kumwuliza neno.


Toma akamwambia: “Bwana, hatujui pahali unapokwenda, basi namna gani tutajua njia?”


Na lile kundi la watu wakamujibu: “Sisi tumesikia katika maandiko ya Sheria kwamba Kristo ataishi milele. Basi namna gani unaweza kusema kama Mwana wa Mutu anapaswa kunyanyuliwa juu? Na huyu Mwana wa Mutu ni nani?”


Wao walitii agizo hilo, lakini wakaanza kuulizana: “Maana ya kufufuka huku ni gani?”


Basi Petro akamwita Yesu pembeni na kuanza kumukaripia, akisema: “Ee Bwana, isikuwe vile! Mambo yale hayatakufikia hata kidogo!”


Wanafunzi waliingiwa na wazo la kutafuta kujua nani anayekuwa mukubwa kati yao.


Wanafunzi walipokuwa pamoja katika jimbo la Galilaya, Yesu akawaambia: “Mwana wa Mutu atatolewa katika mikono ya watu,


Basi wanafunzi wakaanza kuulizana: “Kuna mutu aliyemuletea chakula?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite