Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 9:40 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

40 Niliwasihi wanafunzi wako wamufukuze, lakini hawakuweza.”

Gade chapit la Kopi




Luka 9:40
7 Referans Kwoze  

Yesu akawakusanya wanafunzi wake kumi na wawili na kuwapatia uwezo na mamlaka ya kufukuza pepo, na uwezo wa kuponyesha wagonjwa.


Yesu akawajibu: “Kwa sababu imani yenu ni ndogo. Kweli ninawaambia kama mukiwa na imani, hata ikiwa tu kama punje ndogo sana ya mbegu ya haradali, mutaweza kuuambia mulima huu: ‘Toka hapa uende kule,’ nao utatoka pale. Hakuna kitu chochote kitakachokosa kuwezekana kwenu. [


Gehazi akatangulia mbele, na alipofika akaweka fimbo ya Elisha juu ya uso wa mutoto, lakini hakukuonekana kitambulisho chochote cha uzima. Akarudi na kukutana na Elisha, akamwambia: “Kijana hakuamuka.”


Pepo anapomukamata, mara moja mutoto analalamika, na yule pepo anamutikisatikisa kwa nguvu hata pofu inamutoka. Huyo pepo hatoki ndani yake upesi, naye anamutesa sana.


Na Yesu akajibu: “Ee ninyi watu wa kizazi kisichoamini Mungu na chenye kupotoka! Nitakaa pamoja nanyi tena mpaka wakati gani? Nitawavumilia tena mpaka wakati gani? Umulete mutoto wako hapa.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite