Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 9:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30-31 Watu wawili, Musa na Elia wakatokea, wakionekana katikati ya mwangaza wa utukufu kutoka mbingu. Walikuwa wakizungumuza na Yesu juu ya yale yatakayomutokea kule Yerusalema, kusudi atimize yaliyoandikwa juu yake.

Gade chapit la Kopi




Luka 9:30
13 Referans Kwoze  

Sheria ya Mungu ilitolewa kwa njia ya Musa, lakini neema na ukweli vilikuja kwa njia ya Yesu Kristo.


Kisha akawaambia: “Haya ndiyo maneno niliyowaambia wakati nilipokuwa ningali pamoja nanyi, kwamba sherti yatimizwe maneno yote yaliyoandikwa juu yangu katika Sheria ya Musa, katika maandiko ya manabii na katika Zaburi.”


Kisha akawaelezea maneno yaliyoandikwa juu yake katika Maandiko Matakatifu yote, akianza toka vitabu vya Musa na kuendelea katika vitabu vya manabii wote.


Nao wakajibu: “Wamoja wanasema kwamba wewe ni Yoane Mubatizaji, wengine wanasema kwamba wewe ni Elia, na wengine wanasema kwamba wewe ni mumoja wa manabii wa zamani aliyefufuka.”


Atatangulia mbele ya kufika kwa Bwana, akiwa na roho na uwezo kama nabii Elia, kwa kuwapatanisha tena baba na watoto wao, na kuwageuza waasi wapate kuwa na hekima kama vile wenye haki. Hivi atamutayarishia Bwana watu wanaokuwa tayari kwa kumupokea.”


Naye alipokuwa akiomba, sura yake ikageuka, nazo nguo zake zikageuka nyeupe sana na zenye kumetameta.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite