Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 9:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 akiwaagiza: “Musibebe kitu chochote kwa safari yenu, hata ikiwa fimbo, mufuko, mukate wala feza na hata mumoja wenu asivae kanzu mbili.

Gade chapit la Kopi




Luka 9:3
12 Referans Kwoze  

Halafu Yesu akawauliza wanafunzi wake: “Nilipowatuma pasipo kubeba feza, wala mufuko, wala viatu, mulikosewa na kitu gani?” Wakamujibu: “Hakuna.”


Umutumainie Yawe na kutenda mazuri, upate kuishi katika inchi na kuwa salama.


Askari anapokuwa katika vita, hapaswi kushugulika na mambo ya kawaida ya maisha ya wakaaji kama anataka kumupendeza mukubwa wa kundi lake.


Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Ni kwa sababu hii ninawaambia: musijisumbue kwa ajili ya maisha yenu, kwamba mutakula nini; wala musijisumbue kwa ajili ya miili yenu, kwamba mutavaa nini.


Naye akawajibu: “Mwenye kuwa na kanzu mbili atoe moja kwa yule asiyekuwa na kitu, na anayekuwa na vyakula afanye hivi vilevile.”


Basi ikiwa Mungu anavalisha majani kama hivi, yanayoonekana pale leo na kesho yanatoweka na kutupwa, hatawavalisha vizuri zaidi ninyi wenye imani ndogo?


Kisha Lawi akamufanyia Yesu karamu kubwa katika nyumba yake. Walipishaji wengi wa kodi na watu wengine walikuwa wakikula pamoja nao.


Aliwaita wanafunzi wake kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawili wawili na kuwapatia uwezo wa kufukuza pepo.


Na nafasi yoyote watakapowakaribisha ndani ya nyumba mubakie mule mpaka mutakapotoka kule.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite