Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 9:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Naye alipokuwa akiomba, sura yake ikageuka, nazo nguo zake zikageuka nyeupe sana na zenye kumetameta.

Gade chapit la Kopi




Luka 9:29
17 Referans Kwoze  

Na kule sura ya Yesu ikageuka wazi mbele yao. Uso wake ukangaa kama jua, nazo nguo zake zikametameta kama mwangaza.


Kisha nikaona kiti kikubwa cheupe cha kifalme pamoja na yule aliyeikaa juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele yake navyo havikuonekana tena.


Maana, mbele ya Yawe, mutumishi wake alikomaa kama kichipukizi, kama muzizi katika inchi kavu. Hakukuwa na umbo wala sura ya kupendeza, wala hakukuwa na uzuri wowote wa kutuvuta.


Mutaweza kumwona mufalme katika utukufu wake, mutaiona inchi anayotawala, kubwa na pana.


Na wote waliohuzuria katika lile Baraza wakamukazia Stefano macho, wakaona uso wake unafanana sawa na uso wa malaika.


Neno alifanywa kuwa mutu, naye akaishi kati yetu, akijaa neema na ukweli. Tuliona utukufu wake, utukufu ule Mwana wa pekee aliopewa na Baba.


Kisha, Yesu akawatokea wanafunzi wawili, akiwa na sura ingine. Wanafunzi hao walikuwa wanakwenda kwenye vijiji.


Watu wale wote walipobatizwa, Yesu akabatizwa vilevile. Alipokuwa akiomba, mbingu zikafunguka,


Lakini alikuwa akienda mbali nao kwenye ukiwa na kuomba kule.


Katika siku zile, Yesu akapanda juu ya kilima kwenda kuomba na kukesha usiku wote akiomba Mungu.


Siku moja Yesu alipokuwa akiomba kwenye nafasi ya upekee, nao wanafunzi wake wakiwa pale karibu naye, akawauliza: “Watu wanasema kwamba mimi ni nani?”


Watu wawili, Musa na Elia wakatokea, wakionekana katikati ya mwangaza wa utukufu kutoka mbingu. Walikuwa wakizungumuza na Yesu juu ya yale yatakayomutokea kule Yerusalema, kusudi atimize yaliyoandikwa juu yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite