Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 8:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Halafu wanafunzi wa Yesu wakamwuliza maana ya mufano huo.

Gade chapit la Kopi




Luka 8:9
9 Referans Kwoze  

Wanafunzi kumi na wawili wa Yesu pamoja na watu waliokuwa pembeni yake walipokuwa peke yao, wakamwuliza awaelezee maana ya mifano ile.


“Basi musikilize maana ya ule mufano wa mupandaji wa mbegu.


Wanafunzi wa Yesu wakamwendea na kumwuliza: “Kwa sababu gani unasema na watu hawa ukitumia mifano?”


Siwaiti ninyi tena watumishi, kwa sababu mutumishi hajui mambo bwana wake anayofanya. Ninawaita ninyi warafiki kwa sababu nimewajulisha yote niliyosikia kutoka kwa Baba yangu.


Hakusema nao pasipo kutumia mifano lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao, aliwafasiria mambo yote.


Halafu Petro akamwambia: “Utuelezee maana ya mufano huu.”


Halafu Yesu akaagana na makundi ya watu na kurudi kwenye nyumba. Wanafunzi wake wakamwendea na kumwambia: “Utufasirie maana ya ule mufano wa nyasi katika shamba.”


Basi tumutambue, tujikaze sana kumujua Yawe. Kuja kwake ni hakika kama mapambazuko, yeye atatufikia kama vile manyunyu, kama vile mvua za kwanza zinavyolowanisha udongo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite