Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 8:56 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

56 Wazazi wake wakashangaa sana na Yesu akawaagiza wasimwambie mutu yeyote yale yaliyotokea.

Gade chapit la Kopi




Luka 8:56
5 Referans Kwoze  

Kisha Yesu akamwambia: “Angalisho, usimwambie mutu neno juu ya hii. Lakini kwenda na kumwonyesha kuhani jinsi unavyokuwa sasa. Kisha utoe sadaka kama Musa alivyoamuru, kuwa ushuhuda kwa watu wote kwamba umetakaswa.”


Nayo macho yao yakapona. Na Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema: “Angalisho, musimujulishe hata mutu mumoja jambo hili.”


Yesu akamwamuru hivi: “Usimwambie mutu neno juu ya hii. Lakini kwenda na kumwonyesha kuhani jinsi unavyokuwa sasa. Kisha utoe sadaka kama Musa alivyoamuru, kuwa ushuhuda kwa watu wote kwamba umetakaswa.”


Naye akakuwa tena muzima, na mara moja akasimama. Yesu akawaamuru wamupe chakula.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite