Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 8:55 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

55 Naye akakuwa tena muzima, na mara moja akasimama. Yesu akawaamuru wamupe chakula.

Gade chapit la Kopi




Luka 8:55
6 Referans Kwoze  

Halafu yule marehemu akatoka inje, akiwa amefungwa mikono na miguu kwa vitambaa, na uso wake ukifunikwa na nguo. Yesu akawaambia: “Mumufungue, mumwache ajiendee.”


Lakini Yesu aliwaagiza sana wasimwambie mutu yeyote jambo lililofanyika. Kisha akawaambia wamupe mutoto yule chakula.


Lakini Yesu akamushika mukono na kumwambia kwa sauti kubwa: “Mutoto, simama!”


Wazazi wake wakashangaa sana na Yesu akawaagiza wasimwambie mutu yeyote yale yaliyotokea.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite