Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 8:50 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

50 Lakini Yesu aliposikia vile, akamwambia Yairo: “Usiogope, amini tu, atapona.”

Gade chapit la Kopi




Luka 8:50
10 Referans Kwoze  

Yesu akamwambia: “Sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”


Yesu akamwambia: “Mimi ni ufufuko na uzima, kwa maana anayeniamini, ataishi tena hata ikiwa amekufa.


Lakini Yesu hakuangalia maneno yao, akamwambia yule mukubwa: “Usiogope, uamini tu.”


Na Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponyesha. Ujiendee na amani.”


Ni sawa vile inavyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Nimekuweka kuwa babu wa mataifa mengi.” Abrahamu alimwamini Mungu, kwa hiyo yeye ni baba yetu mbele yake. Ni yeye Mungu anayewafufua wafu na kuamuru vitu visivyokuwa vipate kuwa.


Yesu akamwambia: “Kwa sababu gani unasema: ‘Kama unaweza?’ Yote yanawezekana kwa yule anayeamini.”


Nani kati yenu anayemwogopa Yawe? Nani anayetii maneno ya mutumishi wake? Kama kuna mutu anayetembea katika giza bila taa, amutumainie Yawe, na kumutegemea Mungu wake.


Hakuona shaka juu ya ahadi aliyopewa na Mungu wala kupoteza tumaini, lakini imani yake ilimutia nguvu hata akamutukuza Mungu.


Yesu alipofika ndani ya nyumba ya Yairo, hakuruhusu mutu kuingia pamoja naye isipokuwa Petro, Yoane, Yakobo, baba na mama wa mutoto.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite