Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 8:43 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

43 Kati yao kulikuwa mwanamuke mumoja mwenye ugonjwa wa kutokwa na damu kwa muda wa miaka kumi na miwili. Alikuwa ametumia mali yake yote kwa kulipa waganga, lakini hakuna hata mumoja wao ambaye aliweza kumuponyesha.

Gade chapit la Kopi




Luka 8:43
22 Referans Kwoze  

Sasa, mwanamuke huyu anayekuwa wa uzao wa Abrahamu, ambaye alifungwa na Shetani kwa muda wa miaka kumi na minane, haikumupasa afunguliwe katika kifungo hiki ingawa ni siku ya Sabato?”


Yesu alipokuwa akipita katika njia, akaona mutu mumoja aliyekuwa kipofu tangu kuzaliwa kwake.


Na mule ndani mulikuwa mwanamuke mumoja mugonjwa, aliyeshikwa na pepo kwa muda wa miaka kumi na minane. Mugongo wake ulikuwa umekunjama na hakuweza kuinuka hata kidogo.


Yesu alipotoka ndani ya chombo, akakutana na mutu mumoja kule katika muji aliyeshikwa na pepo. Mutu yule hakuvaa nguo tangu siku nyingi, wala hakuishi ndani ya nyumba, lakini aliishi kwenye makaburi.


Usimutumainie mwanadamu, uzima wake ni kama pumzi tu. Yeye anafaa kitu gani?


Katika mwaka wa makumi tatu na kenda wa utawala wake, Asa akashikwa na ugonjwa wa miguu. Ugonjwa ule ukazidi sana kuongezeka. Lakini hata wakati ule, Asa hakumugeukia Yawe amusaidie, lakini alijitafutia musaada kutoka kwa waganga.


Naye yule mutu aliyeponyeshwa kwa njia ya kitambulisho hiki, alikuwa na umri wa miaka zaidi ya makumi ine.


Karibu na mulango mumoja wa hekalu unaoitwa “Muzuri,” kulikuwa mutu mumoja aliyekuwa kiwete tangia kuzaliwa kwake. Kila siku walimubeba na kumuweka kwenye mulango huo kusudi aombe musaada kwa watu waliokuwa wakiingia katika hekalu.


Lakini hatujui kilichotokea hata anaona sasa, wala hatujui ni nani aliyemuponyesha macho. Yeye ni mutu muzima. Mumwulize yeye mwenyewe, naye atawaelezea maneno yake.”


Kila wakati yule pepo anapomukamata, anamwangusha chini, na mutoto anatoka pofu na kusaga meno, nao mwili wake unakauka. Niliomba wanafunzi wako wamufukuze yule pepo, lakini hawakuweza.”


Ee Mungu, umetuacha kabisa? Wewe hauendi tena na makundi yetu ya waaskari!


Lakini ninyi munapakaa uongo chokaa, ninyi wote ni waganga wasiofaa kitu.


Kwa maana wengine wote walitoa sehemu ya mali wasiyokuwa nayo lazima. Lakini yeye ametoa kwa umasikini wake, mali yote aliyokuwa nayo kwa kuishi.”


kwa sababu alikuwa na mutoto mumoja binti wa pekee mwenye umri wa miaka yapata kumi na miwili, na aliyekuwa karibu kufa. Yesu alipokuwa akienda kule, kundi kubwa la watu walimusongasonga.


Mwanamuke huyu akakuja nyuma ya Yesu na kugusa upindo wa nguo yake. Na mara moja akapona ule ugonjwa wa kutokwa na damu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite