Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Luka 8:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Mutu yule aliyeponyeshwa pepo akamusihi Yesu aende pamoja naye, lakini akamukatalia, akimwambia:

Gade chapit la Kopi




Luka 8:38
24 Referans Kwoze  

Maana ninasongwa na mambo mawili. Ninatamani kujiendea na kukaa pamoja na Kristo, maana hili ndilo jambo bora zaidi.


Halafu watu wote wa inchi ya Wagerasi wakashikwa na woga mukubwa, kwa hiyo wakamwomba Yesu aondoke kwao. Basi Yesu akaingia ndani ya chombo, kusudi apate kuondoka kule.


Wakati alipomwona Yesu, akalalamika na kuanguka mbele yake, na kusema kwa nguvu: “Yesu, Mwana wa Mungu Mukubwa, kuna neno kati yako na mimi? Ninakusihi, usinitese!”


Ee Yawe, mimi ni mutumishi wako, mutumishi wako, mutoto wa mujakazi wako. Umenifungulia vifungo vyangu.


Nitamurudishia Yawe nini, kwa vyote alivyonitendea?


Wewe unanificha kwa kunilinda wakati wa taabu. Ninazungukwa na ukombozi wako.


Jambo moja nimemwomba Yawe, ninatafuta hili tu: nikae ndani ya nyumba ya Yawe siku zote za maisha yangu, niuone uzuri wa Yawe, na kutafuta maongozi yake ndani ya hekalu lake.


Habari zake zikavuma katika inchi yote ya Suria. Wakamuletea watu wote walioteswa na magonjwa mbalimbali na wenye maumivu ya kila namna, wenye pepo, wenye kifafa na wenye kupooza, naye Yesu akawaponyesha.


“Rudia kwako na ueleze mambo yote Mungu aliyokutendea.” Basi yule mutu akajiendea, na kutangaza fasi zote katika muji wake mambo Yesu aliyomutendea.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite